Комментарии:
Those Persians and Arabs were good Architecs.
ОтветитьLugha yetu ni nzuri sana,ujue hata wewe ukienda kwao watasema kwa Lugha yao!Nami namsifu sana huyu Bwana kwa kuipenda hii Lugha nzuri kabisa,tuachane na kuongeza ubora na kupenda Lugha za wenzetu;hiyo ni aina ya UTUMWA.Kongole muongozaji.
ОтветитьWhats the point if waafrica wenzetu walitawaliwa na kuuzwa utumwani from there. That is not our pride at all
ОтветитьNice video clip.
ОтветитьKwanza kabisa napenda kukupongeza sana kwa maelezo yako mazuri yanayoeleweka kirasi. Nchi hii yetu ina mengi yaliyofichika kwasababu mbalimbali. Nakuomba tukiwa hukohuko wilayani Kilwa tupo historia ya miji kama kilwa kivinje na songa mnara na kwingine. Kwa mara nyingine nakupongeza sana.
ОтветитьWewe mpumbavu sema mji ilikufa baada ya wakiristo WA kireno kuvuja na kuharibu
ОтветитьWaafrika twapenda kusingizia mizimu bure
ОтветитьLakini, maelezo yake si sahihi!
ОтветитьKwanini zisichukuliwe hatua za kisheria kuwaruhusu watu au raia wa nchini ili kwenda kuishi huko kirwa nimeapakubali kweli
ОтветитьKwanini usifufuliwe tena mjihuo??
ОтветитьHuko Ulaya wanaamini bado Wafrica ni kama manyani, Wabantu hawana hisyoria yao wenyewe, ndio maana wamekuja kututawala ili watustarabishe. Wazungu wanaandika historia ya kujisifu wenye na kudharau historia ya nchi za kiafrika. Kitu kimoja Professor amekisahau kukieleza ni sababu gani iliyopelekea
Mji wa Kilwa kufa.
Sasa kwanini serikali imeutelekeza huu mji kwanini wasiutengeneze upya
ОтветитьUkweli Utabakia Ukweli Tu! Huyu Msheeleshaji Anapindisha Historia Mreno Amekuja Hapo Mji Umeshajengwa Na Wanaela Yao Ya Dhaabu Na Mashine Ya Kutengenezea Hela! Hata Hilo Jengo Analosema Kumuelekeza Mtangazaji Kwamba Jengo Hilo limejengwa Na Mreno Ni Muhongo Hinavyoelekea Historia Haijui Au Amefaamishwa Tofauti! Jengo Hilo limejengwa Na Waarabu Kama Gereza Sio Mreno Mimi Ni Mzaliwa Wa Lindi Wilaya Ya Kilwa Acha Kutuongopea Hata Hiyo Ngome Kongwe Ya Zanzibar Haikujengwa Na Mreno! Kilwa Kisiwani Kulikuwa Na Misikiti Tisini Na Tisa (99) Na Kulikuwa Akuna Kanisa Hapo Na Mpaka Leo Akuna Kanisa Hapo Kisiwani! Mbona Usemi Mashekh Waliyotoka Hapo Na Tumbatu Kwenda Maka Kukutana Na Mtume Muhammad (S.A.W) Hauizungumzi? Au Mbona Usemi Ikulu Zilikuwa Mbili Moja Hapo Kilwa Kisiwani Na Moja Tumbatu? Ikulu Kubwa Hilikuwa Kilwa Kisiwani Na Ikulu Ndogo Tumbatu Mbona Uizungumzii? Unapindisha Historia Tu! Serikali Hiyangalie Vijana Wanaowapa Kazi Kuizungumzia Historia Ya Hapo Vijana Wenyeji Wazawa Wapo Hapo Na Wazee Wanaoijua Historia Ya Hapo Wapo! Muwe Mnaangalia!
ОтветитьJamal apa umefanya la mana kutukumbusha historia yetu kak salut kwako, nisaidie kit kimoja kaka kama kuna uwezekano ongea hata na waigizaji ili tupate movie ya historia yet ili wat waijue
ОтветитьUwongo mtupu
ОтветитьWenzetu wa ulaya vitu kama hivi huvikuza na dunia nzima hufika na kujizolea kodi kubwa sisi waafrica tupo nyuma sana
ОтветитьCha kushangaza kwenye vitabu vya history shuleni wa Tanzania hatusomeshi hivi vitu badala yake wanatusomesha unyani na historia wanatuandalia wazungu
ОтветитьWapersia si waarabu ni watu tofauti. Wapersia ni Indo-Europeans na Waarabu ni Semites.
ОтветитьWarabu kutoka persia jamani hakuna kituka hiko kuna warabu alafu kunawapersians lakini wote walikua waislam
ОтветитьAsante kwa historia ya kilwa
ОтветитьNaomba kujua nauli beigani hadi kufikia huko?
ОтветитьBasi mkifika misikitini mvue viatu Maana
Miskiti yote ya Mungu na huwabudiwa umo na utaratibu Ni kuvua viatu
Hey jamani how can I travel to the past 😢plzz I'm craving for it nahisi uwepo wangu enzi hizo na nipo 2024 😢😮
ОтветитьIran sio waarabu
ОтветитьSehemu nzuri sana kutembelea 👏 👏 👏
Ответитьkilwa ni evidence ya early swahili civilization yaani ustaarabu wa mswahili najivunia kuwa miongoni mwa vitukuu wa dola ya kilwa ❤❤
ОтветитьHistoria nzuri
ОтветитьHuyu baba ni msomi sana
ОтветитьAcha uzushi ,mji huo huwezi kuutaam mpaka uadisiwe na waislamu
ОтветитьJaman naombeni bax hata like 5 tu
ОтветитьTanzania inasiri kubwa
Ответитьwazungu hasa wareno na wajerumani walivyoingia ktk miji ya kiafrika walifanya UFISADI mkubwa mno,hasa ile miji waliyopata wenyeji ni WAISLAM!!
ОтветитьInaonekana WAARABU hakupora ardhi za wenyeji ila walilipa dhamani na maridhiano,tofauti na MAJAMBAZI waliotoka ULAYA!!
Ответитьmbiona ktk umeogopa historia ya kina nani walioungamiza mji wa kilwa?
warreno ndio walioungamiza mji wa kilwa kwa chuki za za kuwakuta wenyeji ni WAISLAM!!
Mi naomba Utuleteehistoria ya wayaturu
ОтветитьI BET SOLOMON TAME IS IN KILWA JUST MY MIND😇🥲
ОтветитьAsante sana akika wewe n professor
ОтветитьKwanini mnaingia msikitini na viatu😡
ОтветитьTatizo kubwa ilikua kwa Siasa za missionaries
Wao hawakupenda kuona Athari Yoyote ya Muarabu mana walijua fika inasambaza Dini ya Kiislam hivo basi ikawa sababu ya kusahaulika miji yote walio ishi Waarabu.
Swala kubwa udini tu si vinginevyo
Sijai pata like ata moja
ОтветитьBana imgn anapewa binti bana
Ответить😂😂😂😂 yani babu akuwaza malambili au malatatu akahamuwa kumpa nanyongezo ya binti
ОтветитьBEST HISTORY 👏👏
Ответить🔥🔥🔥🔥🔥
ОтветитьNatamani.kuiyona..kilwa..Nani.atani.tembeza.nimm
Df.mombasa
Babu yetu akatoa kisiwa😂
ОтветитьLopez Kenneth Hall Michael Williams Margaret
ОтветитьGonzalez Anthony Perez William Johnson Jeffrey
ОтветитьTunaomba mubadilishe settings maana kuna watu tunapenda kudownload
ОтветитьMartin Elizabeth Young Jennifer Rodriguez Sandra
Ответить